• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
Halmashauri ya Wilaya ya Moshi

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango takwimu na Usuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uru kaskazini
    • Kata
      • Arusha chini
      • Kahe
      • Kahe mashariki
      • Kibosho kati
      • Kibosho kati
      • Kibosho magharibi
      • Kibosho mashariki
      • Kilema kaskazini
      • Kilema kati
      • Kilema kusini
      • Kimochi
      • Kindi
      • Kirima
      • Kirua vunjo kusini
      • Kirua vunjo magharibi
      • Kirua vunjo mashariki
      • Mbokomu
      • Mabogini
      • Makuyuni
      • Mamba kaskazini
      • Mamba kusini
      • Marangu magharibi
      • Marangu mashariki
      • Mwika kaskazini
      • Mwika kaskazini
      • Mwika kusini
      • Njia panda
      • Okaoni
      • Old moshi magharibi
      • Old moshi mashariki
      • Uru kaskazini
      • Uru kusini
      • Uru mashariki
      • Uru shimbwe
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogondogo
  • Kituo cha Habari
    • Gallery

WANANCHI WA VUNJO WATAKIWA KUTOA USHIRIKIANO ILI KUFANIKISHA UJENZI WA MASOKO YA KISASA

Posted on: July 24th, 2024

Naibu Waziri wa Kilimo, Mhe. David Silinde (Mb) amewataka wananchi wa jimbo la Vunjo lililoko Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Mkoani Kilimanjaro kutoa ushirikiano kwa wataalamu kutoka Wizara ya Kilimo watakaoenda jimboni humo kwa ajili ya kufanya usanifu wa kina kwa ajili ya ujenzi wa masoko ya kisasa ya mazao ya kilimo.

Mhe. Silinde amesema hayo leo tarehe 24 Julai, 2024 alipofanya ziara katika masoko ya mazao ya kilimo ya Lyamwombi, Kisambo, Mwika na Himo yaliyopo katika jimbo la Vunjo, Wilaya ya Moshi, mkoani Kilimanjaro.

“Mwaka huu tutafanya usanifu wa kina kwa ajili ya kupata gharama halisi za ujenzi wa ili masoko ya Lyamwombi, Kisambo, Mwika na Himo yaingizwe kwenye mipango ya ujenzi katika mwaka ujao wa fedha; nawasihi sana watakapofika wataalamu wa Serikali wapeni ushirikiano ili mipango hii itekelezwe kwa wakati,” amesema Mhe. Silinde.

Mhe. Silinde amesema Wizara ya Kilimo itajenga masoko hayo katika ubora unaohitajika ikiwa ni pamoja na miundombinu ya kuhifadhia mazao ya wakulima ili yafike kwa walaji yakiwa na ubora na hatimaye wakulima na wafanyabiashara waondokane na hasara zinazosababishwa na kuharibika kwa mazao baada ya kuvunwa.Mhe. Silinde amesema Serikali imejiridhisha kuwa itakapokamilisha miradi ya masoko hayo wananchi wataweza kunufaika kibiashara na kuchangia ukuaji wa uchumi wa Taifa.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Vunjo, Mhe. Dkt. Charles Kimei ameishukuru Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utayari wa kuboresha masoko hayo amboyo ni muhimu kwa uchumi wa wakulima wa jimbo hilo na Taifa kwa ujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI 29-01-2024 January 29, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III NA NAFASI YA WASAIDIZI WA KUMBUKUMBU II TAREHE 06.02.2024 February 06, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDUKA KWA NAFASI YA DEREVA II TAREHE 09.02.2024 February 09, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • MAMA SAMIA LEGAL AID COMPAIGN YAFIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI

    January 30, 2025
  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI

    December 17, 2024
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA VUNJO NA JIMBO LA MOSHI VIJIJINI AFUNGUA MAFUNZO YA SIKU 2 KWA MAAFISA WATENDAJI WASAIDIZI NGAZI YA KATA YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    December 04, 2024
  • UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024

    October 11, 2024
  • Tazama yote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • report za halmashauri

Viunganishi linganifu

  • Tovuti Kuu ya serekali
  • Tovutu ya serekali mtandao (eGA)
  • Tovuti ya Mkoa Kilimanjaro
  • Tovuti ya wizara ya tamisemi
  • Tovuti ya wizara ya fedha
  • Tovuti ya wizara ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Muelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Moshi District Council

    Sanduku la posta: P.o.Box 3003 Moshi

    Simu ya Mezani: Phone 2751865

    Mobile:

    Barua pepe: Email : ded@moshidc.go.tz or info@moshidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma
    • Sera ya faragha

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Haki zote Zimeifadhiwa.