• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
Halmashauri ya Wilaya ya Moshi

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango takwimu na Usuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uru kaskazini
    • Kata
      • Arusha chini
      • Kahe
      • Kahe mashariki
      • Kibosho kati
      • Kibosho kati
      • Kibosho magharibi
      • Kibosho mashariki
      • Kilema kaskazini
      • Kilema kati
      • Kilema kusini
      • Kimochi
      • Kindi
      • Kirima
      • Kirua vunjo kusini
      • Kirua vunjo magharibi
      • Kirua vunjo mashariki
      • Mbokomu
      • Mabogini
      • Makuyuni
      • Mamba kaskazini
      • Mamba kusini
      • Marangu magharibi
      • Marangu mashariki
      • Mwika kaskazini
      • Mwika kaskazini
      • Mwika kusini
      • Njia panda
      • Okaoni
      • Old moshi magharibi
      • Old moshi mashariki
      • Uru kaskazini
      • Uru kusini
      • Uru mashariki
      • Uru shimbwe
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogondogo
  • Kituo cha Habari
    • Gallery

MAFUNZO YA UTOAJI WA MIKOPO YA 10% KWA WANAWAKE,VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU

Saturday 7th, June 2025
@

Halmashauri ya Wilaya ya Moshi imeandaa na kufanya Mafunzo elekezi kwa Vikundi vya Wanawake,Vijana na Watu wenye Ulemavu vitakavyonufaika na Mikopo ya 10%.

Mafunzo hayo yalifunguliwa na Mkuu wa Sehemu ya Maendeleo ya Jamii Ndg. Lucas Msele kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji ambapo Washiriki walikumbushwa kuwa Mikopo watakayoipata wakaitumia kwenye Miradi walioombea na sio kwenda kugawana.

Miongoni mwa mada zilizofundishwa kwenye Mafunzo hayo ni:-

  • Kanuni za Usimamizi wa Matumizi ya Fedha za Mikopo na utaratibu wa marejesho
  • Kikundi endelevu
  • Uongozi katika kikundi

Katika mafunzo hayo yaliyoendeshwa na Wataalam kutoka Halmashauri yakiongozwa na Afisa Maendeleo ya Jamii Bi. Stella Magori, Bw. Ally Tagalile, Bi. Bertha Yairo na Bi. Lydia Njau washiriki pia walipata uelewa juu ya Sifa za kikundi kupata mkopo ambazo ni;

  • Kiwe kimesajiliwa kama Kikundi cha Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu
  • Kiwe kinajishughulisha na ujasiriamali au kinakusudia kuanzisha shughuli za ujasiriamali mdogo au wa kati;
  • Kikundi cha Wanawake au Vijana kiwe kina idadi ya wanakikundi kuanzia watano na kuendelea na kwa Kikundi cha Watu wenye Ulemavu, kiwe kina idadi ya wanakikundi mmoja na kuendelea
  • Kiwe kina akaunti ya benki iliyofunguliwa kwa jina la kikundi kwa ajili ya matumizi ya kikundi;
  • Wanakikundi wawe ni raia wa Tanzania wenye akili timamu
  • Kikundi hakitajumuisha wajumbe wenye ajira rasmi.

Mtu mwenye ulemavu anayekusudia kuomba mkopo chini ya masharti ya kanuni atatakiwa kujaza fomu ya maombi ya mkopo itakayoambatishwa na nyaraka zifuatazo;

  • Nakala ya cheti cha kuzaliwa au hati ya kiapo inayothibitisha kuzaliwa kwake;
  • Nakala ya leseni ya biashara au kitambulisho cha ujasiriamali kilichotolewa na Serikali;
  • Nakala halisi ya taarifa ya akaunti kutoka benki
  • Nakala halisi ya barua ya utambulisho kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji
  • Wazo la biashara.

Washiriki walielekezwa pia juu ya Utaratibu wa uombaji wa mikopo

  • Kikundi kinachokusudia kuomba mkopo kitatakiwa kujaza fomu maalum itakayotolewa na Mamlaka ya Serikali ya Mtaa ikiwa na viambatisho viguatavyo;
  • Katiba ya kikundi
  • Cheti cha usajili wa kikundi
  • Vikundi vinavyojishughulisha na biashara kiambatishe leseni ya biashara
  • Taarifa ya akaunti kutoka katika benki ambayo kikundi kina akaunti
  • Barua ya utambulisho kutoka kwa Mtendaji wa Kijiji
  • Wazo la biashara likiambatana na mchanganuo wa Matumizi na Faida inayotegemewa kupatikana.
  • Maombi yote ya Mikopo kwa sasa yanafanyika kwenye Mfumo wa Usimamiaji na utoaji wa Mikopo ya 10%(TPLMIS) inayotokana na Mapato ya Ndani ya Halmashauri ili kuwezesha Mikopo kwa Wanawake, Vijana na Watu wenye Ulemavu kupitia kiunganishi cha mfumo https://mikopohalmashauri.tamisemi.go.tz





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA MPIGA KURA AWAMU YA PILI May 12, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI 29-01-2024 January 29, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III NA NAFASI YA WASAIDIZI WA KUMBUKUMBU II TAREHE 06.02.2024 February 06, 2024
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDUKA KWA NAFASI YA DEREVA II TAREHE 09.02.2024 February 09, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • MAMA SAMIA LEGAL AID COMPAIGN YAFIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI

    January 30, 2025
  • MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI

    December 17, 2024
  • AFISA MWANDIKISHAJI JIMBO LA VUNJO NA JIMBO LA MOSHI VIJIJINI AFUNGUA MAFUNZO YA SIKU 2 KWA MAAFISA WATENDAJI WASAIDIZI NGAZI YA KATA YA ZOEZI LA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA

    December 04, 2024
  • UANDIKISHAJI WA WAPIGA KURA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA 2024

    October 11, 2024
  • Tazama yote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • report za halmashauri

Viunganishi linganifu

  • Tovuti Kuu ya serekali
  • Tovutu ya serekali mtandao (eGA)
  • Tovuti ya Mkoa Kilimanjaro
  • Tovuti ya wizara ya tamisemi
  • Tovuti ya wizara ya fedha
  • Tovuti ya wizara ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Muelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Moshi District Council

    Sanduku la posta: P.o.Box 3003 Moshi

    Simu ya Mezani: Phone 2751865

    Mobile:

    Barua pepe: Email : ded@moshidc.go.tz or info@moshidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma
    • Sera ya faragha

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Haki zote Zimeifadhiwa.