• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
    • Malalamiko |
Halmashauri ya Wilaya ya Moshi
Halmashauri ya Wilaya ya Moshi

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia ya Halmashauri
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
  • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali watu
      • Mipango takwimu na Usuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Uru kaskazini
    • Kata
      • Arusha chini
      • Kahe
      • Kahe mashariki
      • Kibosho kati
      • Kibosho kati
      • Kibosho magharibi
      • Kibosho mashariki
      • Kilema kaskazini
      • Kilema kati
      • Kilema kusini
      • Kimochi
      • Kindi
      • Kirima
      • Kirua vunjo kusini
      • Kirua vunjo magharibi
      • Kirua vunjo mashariki
      • Mbokomu
      • Mabogini
      • Makuyuni
      • Mamba kaskazini
      • Mamba kusini
      • Marangu magharibi
      • Marangu mashariki
      • Mwika kaskazini
      • Mwika kaskazini
      • Mwika kusini
      • Njia panda
      • Okaoni
      • Old moshi magharibi
      • Old moshi mashariki
      • Uru kaskazini
      • Uru kusini
      • Uru mashariki
      • Uru shimbwe
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Mifugo
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba za Vikao
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria ndogondogo
  • Kituo cha Habari
    • Gallery

MAFUNZO YA BIASHARA KWA WAFANYABIASHARA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI

Monday 22nd, December 2025
@UKUMBI WA MIKUTANO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI

Mafunzo ya Biashara kwa Wafanyabiashara katika Halmashauri ya Wilaya ya Moshi yamefanyika leo tarehe 26/09/2023 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri na kufunguliwa na Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Moshi Ndg. David A.Mgonja na mafunzo haya yalihudhuriwa na Wafanyabiashara wapatao 60 kutoka maeneo mbalimbali ya Halmashauri ya Wilaya ya Moshi wakiongozwa na Mwenyekiti TCCIA Mkoa Kilimanjaro Bw.Sebastian R.Assenga na Katibu wake Bw.Boniface Mariki pamoja na  Wenyeviti wa Wafanyabiashara kutoka maeneo tofauti ndani ya Halmashauri.

Wafanyabiashara waliohudhuria walipitishwa kwenye mada mbalimbali zikiwemo;

Usajili wa Majengo ya kuuzia Bidhaa za Chakula na Vipodozi na Utaratibu wa kupata alama ya Ubora wa Bidhaa kwa Wajasiriamali wadogo na wakubwa.

Mtoa Mada alikuwa Bw.Hamisi J.Mikonzi kutoka Shirika la Viwango Tanzania (TBS)


Fursa na Huduma mbalimbali za kibenki.

Mtoa Mada alikuwa Bi.Beatrice Njau Meneja CRDB Tawi la Mbuyuni – Moshi


Leseni za Biashara na Utaratibu wa kuuza na kusafirisha mazao ya kilimo nje ya nchi na Utaratibu wa kupata cheti cha Uasili wa bidhaa(Certificate of Origin).

Mtoa Mada alikuwa Bw.Sebastian R.Assenga Mwenyekiti TCCIA Mkoa wa Kilimanjaro.


Umuhimu wa matumizi ya vipimo sahihi katika Biashara na Ujasiriamali.

Mtoa Mada alikuwa Bw.Kabeya Bayeke ambaye ni Wakala wa Vipimo(WMA).


Utaratibu wa kupata Alama ya Simbomilia(Barcode).

Mtoa Mada alikuwa Bw.Roman Mnzava kutoka GS1 Tanzania Kanda ya Kaskazini.


Wafanyabiashara walipata wasaa wa kuuliza na kupatiwa majibu kutoka kwa watoa mada.





Matangazo

  • TANGAZO LA UTEUZI WA WATENDAJI WA VITUO VYA KUPIGIA KURA NA KUITWA KWENYE MAFUNZO KWA JIMBO LA MOSHI VIJIJINI NA VUNJO October 18, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUSITISHA UCHAGUZI KATIKA KATA YA KIRUA VUNJO MAGHARIBI October 22, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI 29-01-2024 January 29, 2024
  • MATOKEO YA USAILI KWA NAFASI YA WATENDAJI WA KIJIJI III NA NAFASI YA WASAIDIZI WA KUMBUKUMBU II TAREHE 06.02.2024 February 06, 2024
  • Tazama yote

Habari Mpya

  • DC MOSHI AWATAKA VIONGOZI KUWA MABALOZI WA KAZI ZA SERIKALI

    December 02, 2025
  • HALMASHAURI YAADHIMISHA SIKU YA LISHE KATIKA ZAHANATI YA NJIAPANDA

    November 21, 2025
  • HALMASHAURI YA WILAYA YA SONGEA YAFANYA ZIARA KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOSHI NA KUJIFUNZA JUU YA UKUSANYAJI WA WAPATO YA ZAO LA KAHAWA.

    November 17, 2025
  • MAKARANI WA UCHAGUZI WA JIMBO LA MOSHI VIJIJINI NA VUNJO WAAPISHWA NA KUPATIWA MAFUNZO

    October 25, 2025
  • Tazama yote

Video

More Videos

Viunganishi vya haraka

  • report za halmashauri

Viunganishi linganifu

  • Tovuti Kuu ya serekali
  • Tovutu ya serekali mtandao (eGA)
  • Tovuti ya Mkoa Kilimanjaro
  • Tovuti ya wizara ya tamisemi
  • Tovuti ya wizara ya fedha
  • Tovuti ya wizara ya utumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Muelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mkurugenzi Mtendaji

    Sanduku la posta: P.o.Box 3003 Moshi

    Simu ya Mezani: Phone 2751865

    Mobile:

    Barua pepe: Email : ded@moshidc.go.tz or info@moshidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani
    • Huduma
    • Sera ya faragha

Hatimiliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Moshi. Haki zote Zimeifadhiwa.